
Habari mpya siku za karibuni zinasema kuwa, kampuni ya Facebook kupitia app yake ya WhatsApp hivi karibuni inategemea kulazimisha watumiaji kukubali vigezo na masharti ya utumiaji wa programu hiyo kwenye sheria zake mpya. Sheria hizo ambazo zinatarajiwa kuanza kutumika rasmi tarehe 8 mwezi wa pili mwaka 2021, zinadai kuwa mtumiaji yoyote ambaye hata kubali vigezo […]
Soma Zaidi : Watumiaji wa WhatsApp Kupoteza Akaunti Bila Kukubali Vigezo
No comments:
Post a Comment