
Kampuni ya simu TECNO inaendelea kuwakumbusha wateja wake kutembelea maduka ya TECNO katika msimu huu wa Christmas na Mwaka Mpya. TECNO ilizindua rasmi promosheni ya “TUNARUDISHA FURAHA NYUMBANI” terehe 11/12/2020 ambapo mteja atakaye nunua TECNO Camon 16s na Spark 5pro basi moja kwa moja atakuwa ameingia kwenye droo ya kushindania Mashine ya kufulia, Flat TV, […]
Soma Zaidi : TECNO Kusherekea Msimu Huu wa Sikukuu na Wateja Wake
No comments:
Post a Comment