
Kama umekuwa unatumia huduma za Google kama vile YouTube, Play Store na huduma nyingine kama Gmail, Adsense na nyingine kama hizo. Kama kwa muda huu umekutana error au picha kama hiyo hapo chini basi ni vyema kufahamu kuwa kwa sasa huduma za Google hazipatikana kwa nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania. Bado hadi sasa tunaendelea kufuatilia […]
Soma Zaidi : Sio Wewe Pekee Baadhi ya Huduma za Google Hazipo Hewani
No comments:
Post a Comment