
Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Infinix leo imetambulisha rasmi simu mpya aina ya Infinix NOTE 8. Simu hii mpya itaambatana na ofa ya GB 96 za internet kutoka Vodacom Tanzania PLC kwa Mwaka mzima. Simu ya Infinix NOTE 8 ni ya kwanza toka kampuni hiyo, kuundwa […]
Soma Zaidi : Vodacom na Infinix Wazindua Simu Mpya ya Infinix NOTE 8
No comments:
Post a Comment